Sura Nzuri, Mavazi Mazuri, na kila kitu ni chema kabisa.......
Furaha iliyojaa nyuso zenu ipambe mioyo yenu siku zote za maisha yenu,
Mkawalee vema watoto mtakaopewa na bwana ili wakamilishe furaha yenu milele...
Aliyounganisha Mungu, Mwanadamu asiyatenganishe...
Hongera Sana Emmanuel na Maria.. |
No comments:
Post a Comment